Hatimae wekundu wa msimbazi Simba jana wamefanikiwa kumsajili beki MASOMBO LINO kutoka klabu ya Dc Motema 
Pembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Masombo Lino amabaye anacheza nafasi ya 
beki wa kati amekamilisha uhamisho mara tu baada ya kutua nchini jana 
asubuhi, awali Simba ilitaka kumsajili beki wa zamani wa 
Étoile Sportive du Sahel ya
 nchini Tunisia Gladys Bokese amabaye kwasasa anaichezea Dc Motema Pembe
 lakini imesitisha mpango huo na kuamua kumpa kibarua MASOMBO.
 
 
No comments:
Post a Comment