Sunday, June 24, 2012

MSIMBAZI WASAJILI BEKI KUTOKA DC MOTEMA PEMBE .

Hatimae wekundu wa msimbazi Simba jana wamefanikiwa kumsajili beki MASOMBO LINO kutoka klabu ya Dc Motema Pembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Masombo Lino amabaye anacheza nafasi ya beki wa kati amekamilisha uhamisho mara tu baada ya kutua nchini jana asubuhi, awali Simba ilitaka kumsajili beki wa zamani wa
Étoile Sportive du Sahel ya nchini Tunisia Gladys Bokese amabaye kwasasa anaichezea Dc Motema Pembe lakini imesitisha mpango huo na kuamua kumpa kibarua MASOMBO.

No comments: