Hii imetokea jana jumamosi asubuhi majira ya saa tatu asubuhi baada ya gari ya kampuni ya Kanji Ladji inayobeba bia iliokuwa inatokea Mbeya kwenda Sumbawanga ikiwa imesheheni vinywaji kupata ajali na kuanguka majira ya saa tatu asubuhi.
Kuvuja
 kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi..... baada ya ajaali hiyo kutokea kijiji
 cha Mshani zipatazo km 19 kutoka Laela-Sumbawanga ilikuwa kama sherehe 
kwa wengine kwani wanakijiji walivamia gari na wakaruhusiwa kunywa 
watakavyo ila hakuna kuondoka na chupa..... asubuhi watu walikuwa 
wamelewa chakari...Maisha bora kwa kila Mtanzania...


 
 
No comments:
Post a Comment