Aliyekuwa Meya wa Jiji la Mwanza, Josephat Manyerere (CHADEMA).
Meya wa
Jiji la Mwanza Josephat Manyerere wa CHADEMA amefukuzwa ktk nafasi yake
leo na madiwani akituhumiwa kukiuka kanuni za uongozi kwa kushindwa
kuiendesha vema Halmashauri yake.
Zimepigwa kura 20 za kumkataa na kura 8 tu ndizo zilizomtetea.
Siku kama 4 zilizopita alitakiwa na madiwani wa chama chake (CHADEMA) ajiuzulu kulinda heshima ya chama lakini akakataa.
Gazeti la Mtanzania la Julai 23 lilitoa taarifa ya Meya huyu kupewa siku 4 aachie ngazi
Habari kwa kirefu itafuatia
Zimepigwa kura 20 za kumkataa na kura 8 tu ndizo zilizomtetea.
Siku kama 4 zilizopita alitakiwa na madiwani wa chama chake (CHADEMA) ajiuzulu kulinda heshima ya chama lakini akakataa.
Gazeti la Mtanzania la Julai 23 lilitoa taarifa ya Meya huyu kupewa siku 4 aachie ngazi
Habari kwa kirefu itafuatia
No comments:
Post a Comment