Saturday, July 28, 2012

MAFUNZO YA KUTUMIA INTANETI KWA WAANDISHI WA HABARI WA MKOA WA MBEYA.

 
Waandishi wa mkoa wa Mbeya wakiwa makini kufuatilia mafunzo ya kompyuta jijini Mbeya.









 
 Waandishi wa Habari Gordon Kalulunga(TANZANIA DAIMA), Johnson Jabir(MBEYA FM) na Lina Mwambungu (BARAKA FM).


 
Mwandishi mkuu wa Mbeya yetu Joseph Mwaisango naye alikuwepo katika semina hiyo.

Mafunzo ya Intaneti kwa waandishi Habari leo yameingia siku yake ya pili katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UCC) tawi la Mbeya chini ya Mwalimu Mdegela kutoka Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es Salaam.

No comments: