Tuesday, July 31, 2012

JIBU LA OPRAH KUHUSU KUSAIDI WAMAREKANI WEUSI WENYE MAISHA DUNI.

 Oprah Winfrey ni mmoja kati ya watu maarufu duniani ambao wanaongoza katika kutoa mchango wao kwenye jamii pale unapohitajika .Oprah ana toa misaada kutoka kwenye mfuko wake mwenyewe bila kuchangisha watu na kupeleka alicho pata .Huwa anachagua taasisi gani inahitaji mchango wake na kiasi gani . Ametoa ma million ya dollar za kimarekani kupitia  Angel Network , The  Oprah Winfrey Foundation na The Oprah Winfrey Operating Foundation. South Africa Oprah ana project ya The Oprah Winfrey Leadership Academy For Girls In South Africa.
Week hii mmoja ya watu wanao mfata Oprah kwenye mtandao wa twitter alimuliza Oprah lini ata saidia watu weusi wanao ishi maisha duni Marekani. Jibu la Oprah lilikuwa hivi . { Nime somesha vijana 500 college , wewe umafanya nini kwenye maisha yao?
 
 
Haikuishia hapo ,huyo jamaa @awalkdatalk   hakumaliza hapo aliendelea kumuliza Oprah 
   
   "Au kwa sababu Jay z kaja kwenye show yako ndio unadhani unasaidia jamii , Oprah tumia pesa zako nyimbani kabla hujazipeleka sehemu nyingine #takecarehome1st.
Bado nasubiri majibu Oprah ,Usitoe tamko  hii sio kampeni au tangazo la biashara hili ni swali kwa Oprah ghetto za Marekani zina subiri jibu
 

Hii Ndio Picha Ya Oprah Akiwa Na Jayz Mtaani 
 

No comments: