Tuesday, July 31, 2012

DITTO AONDOKEWA NA BABA YAKE MZAZI.

 
Ditto.
Ditto msanii kutoka THT, usiku huu majira ya saa moja usiku ameondokewa na baba yake mzazi anayeitwa Lambert Tido. Ditto anasema baba yake alikuwa akisumbuliwa na Figo kwa mda mrefu hadi mauti yalipomkuta usiku huu. Asubuhi ya leo hali yake ilibadilika Ghafla . Mipango ya mazishi inafanyika na kuna uwezekano wakasafirisha Mwili wa marehemu kesho kwenda Morogoro kwa mazishi.
Pole sana   Ditto na Familia Yako

No comments: