Kelvin Yondani.
Kelvin Patrick Yondan, beki wa kimataifa wa Tanzania, ameanza mazoezi
rasmi leo katika klabu yake mpya, Yanga SC. Yondan alitinga maeozini
asubuhi na kushangiliwa ile mbaya na mashabiki wa klabu hiyo Uwanja wa
Kaunda, Jangwani, Dar es Salaam. Picha tofauti zikimuonyesha Yondan
mazoezini na Yanga hizi hapa
![]() |






No comments:
Post a Comment