Saturday, June 23, 2012

VIATU VYA KANYE WEST 'NIKE' INAZIDI KUONGOZA KWA MAUZO SOKONI.

Kanye West.
Viatu vya Nike ambavyo ni dezain ya  rapper Kanye West aina ya yeezy ambavyo kwa sasa viko kwenye toleo la pili aka Air Yeezy 2 Vinazidi kufanya vizuri kwenye mauzo na kutaka hata kukaribia Jordan mpya ambazo pia nazo zipo sokoni.
 
 Toka viatu hivi vingie sokoni tarehe 7 June 2010 vijana wameonekana wakilala nje ya maduka mpaka yafunguliwe wanunue au ata kuingia kwenye minada ya viatu hivyo kwenye mitandao. 
 

No comments: