Thursday, June 21, 2012

USIKU LINAH LIVE WITH A BAND NDANI YA NEW MAISHA CLUB JUMAPILI HII

LINAH..Jumapili hii kwa mara ya kwanza jijini  Dar es Salaam baada ya kumaliza tour ya America ataangusha show kabambe akipiga kila wimbo na live Band,pamoja na burudani hiyo LINAH atazindua rasmi video mpya ya " AJ UBAO NA LINAH" iliyotengenezwa Marekani,pia ma superstar wengine wa bongo watakao msindikiza usiku huo ni,,MWANA F.A,DITTOAMINI  na COUNTRY BOY.
                                                    NEW MAISHA CLUB
                                                  KUANZIA SAA 3 USIKU
                                  

No comments: