
Lebron.
Akiwa Miami Hotel alipokuwa akifanyiwa interview alipishana na maharusi
hawa na kuamua kupiga nao picha . Toka ameshinda champion ship Lebron
amekuwa mtu tofauti sana , anacheka na kila mtu , happy all the time na
anakubali interview zote na kuongea vizuri sana kwa watu .Pressure zote
zimepungua .Da kweli ile champion ship Ring Nomaaaaaaaaaa.
No comments:
Post a Comment