Tuesday, June 26, 2012

HIVI NDIVYO TMK WANAUME PAMOJA NA BI CHEKA WALIVYOKAMUA DAR LIVE.

Wasanii wa kundi la Wanaume Family wakiongozwa na Mhe Temba, Chegge na Bi Cheka wakifanya makamuzi katika Tamasha la Wanaume Family Spesho lililofanyika Jumapili Juni 24, 2012 ndani ya ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.

No comments: