Tuesday, June 26, 2012

50 CENT APATA AJALI YA GARI JANA USIKU.


Rapper 50 CENT amepata ajali mbaya ya gari jana usiku huko Queens New York baada ya gari lake kugongwa na lori ambapo yeye na dereva wake walikimbizwa hospitali ya karibu kutibiwa, hakuna taarifa nyingine za ziada lakini blog yako ya kijanja iko karibu na inafatilia kikitokea chochote kipya utakifahamu kupitia hapa hapa.


 




No comments: