Tuesday, June 26, 2012

BAADA YA KUMBEBA NA KUMDHALILISHA KIJINSIA MAMA N'TILIE HUYU, CHAKULA CHAKE ALICHOKUWA ANAWALISHA WASUGUA MBONGO KIKO WAPI?

 

Mama n'tilie huyu anapigwa na kudhalilishwa kwa kufanya biashara halali katika harakati za kujikwamua na maisha magumu yalichangiwa na wizi wa mafisadi. Wezi hao hao wa EPA,KIWIRA,BOT,DOWANS , WAUZA TWIGA NJE YA NCHI wanasafishwa na serikali tena kwa kuombwa radhi na kubadilishwa vitengo ili kuwapumbaza wananchi....Kwanini tusiseme serikali ni DHAIFU kwa kuwaogopa wezi wa mali ya umma na kuonesha nguvu zake kwa wanyonge?
"Sababu tunazo, Nguvu tunazo, tunahitaji Nia ya kweli kulikomboa taifa.
"Tafadhali chukua hatua".


No comments: