Friday, October 26, 2012

HII NDIO NYUMBA ANAYOMILIKI MKENYA STELA MWANGI (STL).

 Mtandao maarufu wa Ghafla Kenya umeripoti kwamba kama ile show ya MTV Cribs ingekua inafanyika
Kenya basi STL angekua miongoni mwa mastaa wanaomiliki nyumba nzuri sana, hii ni nyumba anayoimiliki staa huyu wa hits kibao kama habahaba, lookie lookie na nyingine.

 

No comments: