Friday, October 26, 2012

AKON AMEWASILI KENYA TAYARI KWA SHOW.

Kwa mujibu wa chanzo cha habari hii ni Msanii kutoka Marekani `Akon' aka Aliaune Damala Badara amewasili Kenya salama na yuko tayari kwa tamasha alilokuja kufanya. Akon amewasili jana mida ya saa moja usiku na ndege ya Emirates kutoka Dubai. Fahamu kuwa Akon alitakiwa aje Kenya miaka 2 iliyopita ila kila show waliotangaza,alishindwa kufika.


 
 


 

 

 

 

 

 

No comments: