Berry J 255 - Official Blog

Pages

  • Home
  • VIDEOS
  • GAMES
  • SOFTWARES
  • DOWNLOAD MUSIC
  • GOSSIP
  • LYRICS
  • CONTACT US
  • CLOUDS FM LIVE
  • BPL FIXTURES

Thursday, August 9, 2012

PREZZO AWASILI NAIROBI.


Prezzo akishukuru kabla ya kuondoka uwanja wa ndege
Prezzo akishukuru kabla ya kuondoka uwanja wa ndege.
Mwakilishi wa Kenya katika shoo ya Big brother StarGame 2012, msanii Prezzo amewasili jijini Nairobi (Kenya) jana asubuhi na kufuta minong’ono iliyokuwa imezagaa nchini humo kuwa ana bifu na aliyekuwa mshiriki mwenzake katika shindano hilo Alex Malonza.
Akiongea baada ya kuwasili jijini Nairobi jana Prezzo alisema hadhani kama ana kinyongo na aliyekuwa mshiriki mwenzake. Tunamnukuu “I held no grudges with Malonza, even though he nominated me twice”. Akimaanisha hana kinyongo na Malonza ingawaje alimpigia kura ya kutaka awe mmoja wa wanaotakiwa kutoka mara mbili.

Akiendelea prezzo alisema nimesikia anataka kufanya kazi za kisanii na mimi, sidhani kama nina tatizo na hilo kwani sina kinyongo nae. Mimi nipo kwa ajili ya chochote ambacho kitafanya mkono uende kinywani kwa hivyo tusubiri na kuona matokeo ya kile kinachofikirika ama kitakachowezekana.
akijibu swali la kama bado anampenda mshiriki mwenzake toka Nigeria Prezzo alijibu tumeongea na tutakutana Nairobi siku si nyingi nafikiri bado kuna nafasi ya kujadiliana kwa mapana zaidi.
Prezzo ameshika nafasi ya pili katika shindano la mwaka huu na kupata nafasi ya kuteuliwa kuwa balozi wa kampeni ya kupiga vita njaa “One Campaign” na pia amepata nafasi ya kwenda nchini Marekani baadae mwishoni mwa mwezi huu kushuhudia shoo ya rapa nguli wa hip hop Jay Z jijini New York.
Kuwasili kwa prezzo jana asubuhi katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta kulipelekea shughuli kusimama katika uwanja huo kwani watu wengi waliacha shughuli zao na kwenda kumlaki huku wakimpongeza kwa kufika hatua ya fainali na kukosa ushindi kidogo na wengine wakimpa mkono pamoja na kumkumbatia na kupiga naye picha. Prezzo anatarajiwa kukutana na Makamu wa Rais wa Kenya Mheshimiwa Kalonzo Musyoka muda wowote leo au kesho
Prezzo akitoa ishara ya pamoja
Prezzo akitoa ishara ya pamoja.
Prezzo akiwa na mama yake ndani ya gari lililompeleka nyumbani
Prezzo akiwa na mama yake ndani ya gari lililompeleka nyumbani.
Prezzo akihojiwa
Prezzo akihojiwa.
Prezzo akipozi na fan wake
Prezzo akipozi na fan wake.
prezzo akisalimiwa
Prezzo akisalimiwa.



Posted by JOHNSON VERNON at 1:25:00 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Search This Blog

Visitors

Sikiliza Clouds Fm Hapa


Visitors ShoutBox

wibiya widget

Sikiliza Times Fm Hapa


Popular Posts

  • DOWNLOAD LINEX - AIFOLA IFOLA.
  • TRACK MPYA YA DARASA FT TUNDA MAN - ULIMWENGU WATU NA MAISHA YAO
  • PICHA 15 ZA NYUMBA MPYA YA LIL WAYNE ALIYONUNUA MWAKA HUU.
  • NANI ANA MAKALIO MAZURI KATI YA KIM KARDASHIAN NA COCO.
  • HII NDIO NYIMBO MPYA YA SHILOLE FT Q CHILLAH - DUDU
    Shilole.

Followers

Blogs I'm Following

  • ManUtd.com News RSS
    The Inside Story of Licha's return to training - Why it has been so pleasing to see Martinez back with the squad at Carrington.
    2 hours ago
  • BABA JONII
    Angalia Walichokifanya Bilnas Na TID Kwenye Stage Ya Fiesta Dar -
    8 years ago
  • DJ Fetty
    Bunge Lamkingia Kifua Zitto Kabwe......Lasema Bado ni Mbunge Halali na Spika wa Bunge ana Mamlaka Kisheria Ya Kutengua Maamuzi ya CHADEMA - Ofisi ya Bunge imesema haijapata barua yoyote kuhusu kuvuliwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema). Kauli ya hiyo ya Bunge im...
    10 years ago
  • Free Learning Softwares in Urdu
    -
Follow @BerryJ_
© 2012 Berry J 255. All Rights Reserved. Blogger Template Created By Johnson Vernon

Contuct Us

Johnson Vernon (Berry Jay)
Mob: +255 656 330090
Email: johnson.malimali@gmail.com

Copyright Text

Watermark theme. Powered by Blogger.