Wednesday, August 1, 2012

MSHINDI WA GARI YA PILI APATIKANA KATIKA DROO YA MWISHO YA KAMPENI YA VUMBUA DHAHABU CHINI YA KIZIBO.

Mkurugenzi mpya wa kampuni ya bia ya Serengeti bw.Stephen Gannon ( kushoto ) akiongea na waandishi wa habari alipohudhuria kwa mara ya kwanza droo ya mwishon ya promosheni ya Vumbua Hazina Chini ya Kizibo iliyoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti tangu mwezi wa tano 2012 hadi leo. Kulia ni Mkurugenzi wa mahusiano na mawasiliano wa kampuni hiyo Bi Teddy Mapunda.Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti Bw Ephraim Mafuru (kushoto) akiongea na mmoja wa washindi katika droo hiyo ya mwisho kwa njia ya simu ya kiganjani.(katikati) ni meneja wa bia ya Serengeti bw. Allan Chonjo na kushoto ni wasimamizi na wakaguzi kutoka bodi ya taifa ya michezo ya kubahatisha.
 

Mkurugenzi wa Masoko wa Serengeti kampuni ya bia ya Serengeti akiongea mna mmoja wa washindi katika droo ya mwisho ya Vumbua dhahabu Chini ya Kizibo iliyomalizika leo, kulia ni Meneja wa bia ya Serengeti Lager Allan Chonjo na katikati ni Tumainieli Malisa kutoka kampuni ya PWC

No comments: