Tuesday, July 31, 2012

JIUNGE NA TEAM SHETTA.

 
Shetta.
 Team Shetta ni mfumo wa Msaani Shetta kuweza kuwasiliana na mashabiki na watu tofauti wanao support Mziki na kazi za Rapper Shetta. Uwe Mtu unaemkubali Shetta , Unapenda mziki wake , kufatilia kazi zake na kupenda kila kitu kuhusu Shetta. Team Shetta ipo Facebook ,Twitter na BBM .Unaweza kupata Team
Shetta kwenye Twitter na Facebook kupitia Teamshetta .Pia Shetta amesema Dar stamina itabaki kama lebel yake ambayo ataleta wasaani na kusimamia wasani wapya chini ya Dar stamina. 
 Kama bado hujamsoma shetta ,huyu ndio msaani aliye imba nyimbo kama , Nidanganye Danganye ft Diamond ,Nimechokwa ft Belle 9 na Mdananda ft tunda Man na Dully Sykes.

No comments: