bofya 'Read more' kujionea ma2kio mengine.
Wageni waalikwa wakiitizama filamu hiyo ya Wema inayoitwa Super Star.
Quick Rocker & Frank Gonga.
Irene Uwoya.
mziki ulinoga viatu vikavuliwa.
Mwanadada
SHAA jana alifanya show nzuri sana na alitunzwa hela nyingi na kila mtu
aliependa alichokuwa akikifanya. Napenda unavyojiamini Shaa endelea na
uzi ule ule.
No comments:
Post a Comment