Lupita Nyo’ngo.
Kama umewahi kuiona series ya Shuga inayotengenezwa na MTV bila shaka
ulishaiona sura ya mwanadada huyu mrembo mwenye ngozi nyeusi na nga’aavu
kama bati lililoakisi mwanga wa jua, Lupita Nyo’ngo ana kila sifa ya
kuwakilisha uzuri wa msichana asili wa kiafrikaa.
Brad Pitt.
Baada ya kufanya vizuri kwenye show hii ya ‘Shuga‘, mrembo huyo
amekula shavu la kushiriki kwenye movie ya Steve McQueen iitwayo ‘12
Years A Slave‘.
Kwenye movie hiyo atakutana na waigizaji ‘heavy weight’ wa Hollywood
akiwemo Brad Pitt, Alfre Woodard, Chiwetel Ejiofor, Michael Fassbender,
Ruth Negga, Adepero Oduye, Paul Dano, Benedict Cumberbatch, Scoot
McNairy, Garret Dillahunt, Paul Giamatti na Sarah Paulson.
No comments:
Post a Comment