Tuesday, June 19, 2012

MANENO 29 YALIYOMFANYA JOHN MNYIKA KUONDOLEWA BUNGENI LEO.

John Mnyika akisindikizwa na askari wa bunge. 

Mbunge wa Ubungo John Mnyika kwa ruhusa ya Chadema ametolewa kwenye bunge leo kutokana na kukataa kufuta kauli aliyoitoa iliyosema ‘tumefika hapa tulipo kwa sababu ya udhaifu wa Rais Jakaya Kikwete, kwa sababu ya wabunge na bunge, na tumefika hapa tulipo kwa sababu ya upuuzi wa CCM’

No comments: