Ll Cool J.
Rapper LL Cool J ametangaza kutoa album mpya itakayo ambatana na audio
na studio software itakayo wezesha wasaani kufanya nyimbo pamoja bila
kuwa eneo au studio moja kwa wakati ule . Ll cool j amesema sasa
production inakuwa ngumu kwasababu watu wanatumiana sauti na beat
kwenye email ila hii program itaruhusu wasaani kufanya ngoma pamoja
wakiwa studio tofauti na kuiskiliza na kufanya mabadiliko
hapo hapo bila kutumia email . Software hii itakuwa ni virtual live studiona itaitwa My Connect Studio .
hapo hapo bila kutumia email . Software hii itakuwa ni virtual live studiona itaitwa My Connect Studio .
Ll cool j ameshirikiana na kampuni kubwa ya muziki ya sony kutengeneza
na kuboresha software hii ambayo pia itaunganishwa na mtandao wa
kijamii wa ll cool j unaojulikana kama The Boombox. .
Ll cool j pia amefunguka kuhusu album yake ya 3 nakusema itahusu sana My
Connect Studio ambayo atatumia kushirikiana na wasaani tofauti ili
kuonyesha mfano wa ufanisi bora wa software hii kwenye mziki marekani na
dunia nzima .

No comments:
Post a Comment