Monday, June 25, 2012

LIZA MUCHERU ACHAGULIWA KUWA BALOZI WA PERFUME YA JUSTIN BIEBER.



Liza Mucheru.

Mwana mitindo na muigizaji toka Kenya anayeishi njee, kutokana kujituma sana na hii inaonekana kwa mafanikio yake .Hivi karibuni mwana dada huyo anayeshiriki The USA  Apprentice toka Kenya anaeishi Marekani Liza Mucheru amepata nafasi ya kuwa Balozi na mwakilishi wa Perfume mpya ya Justin Bieber
itwayo GirlFriend .
Liza Mucheru ata simamia uzinduzi wa perfume hio kwenye mjii wake utakao fanyika Macy's shopping store,  na pesa zitakazo patikana zitatolewa kama msaada kwa vituo tofauti.
Utambulisho wa perfume hii ya Justin  Bieber unaambatana na kuingia sokoni kwa album yake mpya ya Believe week hii ambayo imetoa hit inayo fanya vizuri kwa sasa ya BoyFriend .

No comments: