
Diamond Platnumz.
Tukio hilo lililotokea ijumaa Juni 22, mwaka huu maeneo ya Bamaga jijini Dar ambapo Diamond aliangukia mikononi mwa maafande hao ambao walimbananisha kwa kosa la kuendesha gari lake jipya ambalo halijasajiliwa, aina ya Toyota Land Cruiser Prado.
Diamond alipowaonesha kadi halali na vibali vingine vya (TRA) walimwachia na kumtaka akaweke namba halali.
No comments:
Post a Comment