Mkali
wa ngoma inayosumbua “Lookie Lookie” STL kwa sasa yuko busy akiwa
anakamilisha single yake mpya inayoitwa “Bad as I wanna be” ambayo
itaachiliwa Juni 29 2012.Habari zinasema kwa sasa anaishi hotel huko
Central Business District Nairobi. Atafanya kama alivyoanza Hip Hop kwa
sana. TheGurlGetsBussy Stela Mwangi hii ndo single cover yake ya “Bad as
I wanna be” Single ya Lookie Lookie ilitengenezwa na Norwegian
Producers Big City.

No comments:
Post a Comment