Berry J 255 - Official Blog

Pages

  • Home
  • VIDEOS
  • GAMES
  • SOFTWARES
  • DOWNLOAD MUSIC
  • GOSSIP
  • LYRICS
  • CONTACT US
  • CLOUDS FM LIVE
  • BPL FIXTURES

Tuesday, June 19, 2012

JOHN MNYIKA ATOLEWA NJE YA BUNGE


John Mnyika.

Mbunge wa Jimbo la Ubungo (Chadema), Mhe. John Mnyika
ametolewa nje ya bunge muda huu na Naibu Spika, Job Ndugai baada ya kukataa kufuta kauli yake kuwa Rais Kikwete ni dhaifu wakati alipotakiwa kufanya hivyo. Mnyika ametolewa nje ya bunge wakati wabunge wakichangia mjadala wa bajeti ya serikali mwaka wa fedha 2012/13 iliyowasilishwa bungeni hivi karibuni. Mnyika atarudi bungeni kesho.
Posted by JOHNSON VERNON at 12:45:00 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Search This Blog

Visitors

Sikiliza Clouds Fm Hapa


Visitors ShoutBox

wibiya widget

Sikiliza Times Fm Hapa


Popular Posts

  • DOWNLOAD LINEX - AIFOLA IFOLA.
  • TRACK MPYA YA DARASA FT TUNDA MAN - ULIMWENGU WATU NA MAISHA YAO
  • PICHA 15 ZA NYUMBA MPYA YA LIL WAYNE ALIYONUNUA MWAKA HUU.
  • NANI ANA MAKALIO MAZURI KATI YA KIM KARDASHIAN NA COCO.
  • HII NDIO NYIMBO MPYA YA SHILOLE FT Q CHILLAH - DUDU
    Shilole.

Followers

Blogs I'm Following

  • ManUtd.com News RSS
    The Inside Story of Licha's return to training - Why it has been so pleasing to see Martinez back with the squad at Carrington.
    9 hours ago
  • BABA JONII
    Angalia Walichokifanya Bilnas Na TID Kwenye Stage Ya Fiesta Dar -
    8 years ago
  • DJ Fetty
    Bunge Lamkingia Kifua Zitto Kabwe......Lasema Bado ni Mbunge Halali na Spika wa Bunge ana Mamlaka Kisheria Ya Kutengua Maamuzi ya CHADEMA - Ofisi ya Bunge imesema haijapata barua yoyote kuhusu kuvuliwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema). Kauli ya hiyo ya Bunge im...
    10 years ago
  • Free Learning Softwares in Urdu
    -
Follow @BerryJ_
© 2012 Berry J 255. All Rights Reserved. Blogger Template Created By Johnson Vernon

Contuct Us

Johnson Vernon (Berry Jay)
Mob: +255 656 330090
Email: johnson.malimali@gmail.com

Copyright Text

Watermark theme. Powered by Blogger.