John Mnyika.
Mbunge wa Jimbo la Ubungo (Chadema), Mhe. John Mnyika
ametolewa
 nje ya bunge muda huu na Naibu Spika, Job Ndugai baada ya kukataa 
kufuta kauli yake kuwa Rais Kikwete ni dhaifu wakati alipotakiwa kufanya
 hivyo. Mnyika ametolewa nje ya bunge wakati wabunge wakichangia mjadala
 wa bajeti ya serikali mwaka wa fedha 2012/13 iliyowasilishwa bungeni 
hivi karibuni. Mnyika atarudi bungeni kesho.
No comments:
Post a Comment