Tuesday, June 26, 2012

HILI NDILO GARI LA RAPPER SOULJA BOY LILILOPATA AJALI.

Awali Soulja Boy alisema sio yeye aliyekuwa akiendesha ila ni bodyguard ndio alikuwa akiendesha wakati wa ajali ,ila baada ya uchunguzi kufanyika soulja boy amefunguka kuwa yeye ndiye alikuwa 
anaendesha na kosa sio lake ila dereva aliyeni gonga alijaribu kuwahi taa za kijani wakati zangu zimeniruhusu.
 

No comments: