Saturday, June 16, 2012

HII NDIO VIDEO MPYA YA AY ALIYOKWENDA KUIFANYA AFRIKA KUSINI.


Hii ndio video aliyoitangaza kwenda kuifanya South Africa kwa milioni 30 za kibongo imetoka, imefanywa na kampuni ya Godfather iliyohusika kutengeneza video za wakali wengine kama J Martins, P Square na Mr Flavour wa Nigeria.

No comments: