Former Member wa G.Unit alikutwa na
camera za TMZ usiku wa jana akitoka club ya usiku ya Roxbury huko
Hollywood. The Game aliulizwa vipi anadhani beef ya Chriss Brown na
Drake inaweza ikawa kama ile
ya Tupac na Big. "Chris Brown ni kama mdogo wangu na Drake ni mshikaji wangu poa sana, Inatakiwa wamalize hii beef sababu haina faida yeyote" Alisema The Game.
ya Tupac na Big. "Chris Brown ni kama mdogo wangu na Drake ni mshikaji wangu poa sana, Inatakiwa wamalize hii beef sababu haina faida yeyote" Alisema The Game.
Cameraman
huyo wa TMZ aliendelea kumuuliza kama anaweza akawa balozi wa amani
kwenye beef hiyo. The Game alisema hataki kujihusisha na beef hiyo.
"Sitahusika na beef hii sitaki, It is for their birds" Alimaliza The
Game.

No comments:
Post a Comment