Tuesday, June 26, 2012

BODYGUARD WA RIHANNA AMTANDIKA NGUMI PAPARAZI.

 
Ilikuwa weekend ndefu kwa star wengi marekani na Rihaana alikuwa akimalizia weekend yake London maeneo ya Whiskey Mist Night Club  na paparazi walimsogelea sana Rihaana na Bodyguard wake kuona kama wanahatarisha maisha yake ndio akatoa kichapo kikali sana . Rihaana hakuona kilichotokea alikuwa tayari ameshaingia kwenye gari .

No comments: