Friday, August 10, 2012

2 FACE ANATEGEMEA MTOTO WA 7.

Annie Na 2 Face.
Msanii toka Nigeria 2 Face Idibia anategemea mtoto wake wa 7 na mke wake Annie Macaulay .Habari hizi zimevuja kupiitia Nigeriafilms.com nakusema star huyo wa filamu Nigeria ameonekana kunenepa sana na shape yake kubadilika ghafla tu. Annie ndio star kwenye movie ya Ifiki ,Akwa -Ibom ambaya kwa sasa amepunguza kazi zake za filamu na pia haonekani akisema lolote kwenye mitandao ya kijami kama Facebook na Twitter. Yote haya amefanya ilikuweka siri ya ujauzito wake na star 2 Face.
Ningependa ujue kuwa mwezi May ,1 , 2012 Annie na 2 Face walifunga ndoa ya siri mjini Lagos na wageni waalikwa walikuwa ni ndugu na jamaa zao tu . Harusi ilifanyika baada ya 2 Face kumaliza show yake ya kutambulisha albumEko Hotel mjini lagos April 30,2012 .Uchumba wa Annie na 2 Face ulianza kitambo na alimvalisha pete ya uchumba February 14,2012 na tayari wana mtoto wa kwanza anaitwa Isabella.
 

No comments: