Madaktari wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini
Dar es Salaam wakimpakia kwenye Gari Daktari Mwenzao aliepatwa na Mkasa wa
Kutekwa Nyara na watu wasiojulikana na ambao walimjeruhi vibaya sana,Dk. Steven
Ulimboka aliepatwa na mkasa huo usiku wa kuamkia jana huko katika msitu wa
Mabwepande,jijini Dar.
Wanahabari wakihangaika kupata picha ya Dk. Steven
Ulimboka alieinginzwa kwenye gari hiyo tayari kwa kupelekwa kwenye Taasisi ya
Mifupa (MOI) kwa matibabu zaidi.
Madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya
Muhimbili wakilisukuma gari lililokuwa limempakia Dk. Steven
Ulimboka.
Madaktari na Wauguzi wa Muhimbili wakiwa wamesimama
huku wakizungumzia hali iliyompata mwenzao.
Mwanahabari akitafuta taswira.
hakuna kazi iliyokuwa ikifanyika Hospitali ya Taifa
ya Muhimbili wakati Dk. Ulimboka alipofikishwa hospitalini hapo
No comments:
Post a Comment