Thursday, June 28, 2012

MATUKIO MBALIMBALI JANA MUHIMBILI WAKATI AKIFIKISHWA DK. ULIMBOKA AKIWA MAHUTUTI.

Madaktari wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam wakimpakia kwenye Gari Daktari Mwenzao aliepatwa na Mkasa wa Kutekwa Nyara na watu wasiojulikana na ambao walimjeruhi vibaya sana,Dk. Steven Ulimboka aliepatwa na mkasa huo usiku wa kuamkia jana huko katika msitu wa Mabwepande,jijini Dar. 


Wanahabari wakihangaika kupata picha ya Dk. Steven Ulimboka alieinginzwa kwenye gari hiyo tayari kwa kupelekwa kwenye Taasisi ya Mifupa (MOI) kwa matibabu zaidi.

Madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakilisukuma gari lililokuwa limempakia Dk. Steven Ulimboka.

Madaktari na Wauguzi wa Muhimbili wakiwa wamesimama huku wakizungumzia hali iliyompata mwenzao.

 

 

 
Mwanahabari akitafuta taswira. 

 
hakuna kazi iliyokuwa ikifanyika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakati Dk. Ulimboka alipofikishwa hospitalini hapo 

No comments: