Wednesday, June 27, 2012

GARETH BALE AJITIA KITANZI MIAKA MINNE WHITE HART LANE.

EPL, Gareth Bale, Tottenham Hotspur v Swansea City
Gareth Bale.
Klabu ya Tottenham imetangaza kwamba Gareth Bale amesaini mkataba mpya wa miaka minne, ambao utamuweka White Hart Lane hadi 2016, wameandika Goal.com. Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Wales, kwa muda mrefu amekuwa akihusishwa na habari za kuhama klabu hiyo kwenda Manchester United na Barcelona ambazo ziliripotiwa kumtaka nyota huyo mwenye umri wa miaka  22. 

No comments: