Friday, November 9, 2012

STORY KAMILI KUHUSU COLLABO MPYA YA RIHANNA NA CHRIS BROWN.

Mpaka sasa imefahamika kuwa Msanii Rihanna amefanya collabo nyingine na mpenzi wake Chris Brown Itakayo kuwa kwenye album yake ya saba ya`Unpologetic' inayotoka November 19 2012.Hii ni moja ya
collaboration iliyosubiriwa sana toka wawili hawa waonekane pamoja tena baada ya mtafaruku wao uliotokea mwaka 2009. Rihanna amethibitisha kuwepo na collabo hii kupitia cover lake la album linalo onyesha orodha ya nyimbo zitakazo kuwepo na wasanii walio shirikishwa. Wasanii walioshirikishwa ni Eminem ,Mikky Ekko ,Future, Mother Mary na Chris Brown. Wimbo wa Rihanna na Chris Brown unaitwa `Nobody's Business'

No comments: