
Friday, November 9, 2012
STORY KAMILI KUHUSU COLLABO MPYA YA RIHANNA NA CHRIS BROWN.
Mpaka
sasa imefahamika kuwa Msanii Rihanna amefanya collabo nyingine na
mpenzi wake Chris Brown Itakayo kuwa kwenye album yake ya saba
ya`Unpologetic' inayotoka November 19 2012.Hii ni moja ya
Tuesday, November 6, 2012
WAZEE WA POWER WINDOW WAMLIZA MTANGAZAJI WA CLOUDS FM.

Siku chache baada ya msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini Ommy Dimpoz kuibiwa vifaa kutoka gari yake, mtangazaji mahiri wa kipindi cha 'Kwa Raha Zetu' kinachorushwa na Clouds Fm ya jijini Gea Habib naye amekutana na dhahma hiyo baada ya wakora kuiba vifaa kutoga ndinga yake ya kisasa aina ya GX110.
Monday, November 5, 2012
BEEF `50 CENT VS FLOYD MAYWEATHER'.
50 Cent Na Floyd Mayweather
Tazama
na soma majibizano ya vijana hawa walio wahi kuwa marafiki sana kipindi
cha nyuma kidogo.Urafiki wao ulibadilika baada ya 50 Cent kuanza
kusimamia mapambano ya ngumi Marekani na Floyd kurudisha urafiki na
Rickross.
Subscribe to:
Posts (Atom)

