Tuesday, November 6, 2012

SANTOS WA ARSENAL AOMBA RADHI KUHUSU ISHU YA VAN PERSIE.

WAZEE WA POWER WINDOW WAMLIZA MTANGAZAJI WA CLOUDS FM.

Siku chache  baada  ya msanii nyota wa muziki wa  kizazi  kipya  nchini Ommy Dimpoz kuibiwa  vifaa kutoka gari yake, mtangazaji mahiri wa  kipindi cha  'Kwa Raha Zetu' kinachorushwa na Clouds Fm ya jijini Gea Habib naye amekutana na dhahma  hiyo baada ya wakora  kuiba  vifaa kutoga ndinga  yake ya kisasa aina ya GX110.

HII NDIO GARI MPYA YA MSANII JAGUAR.

Monday, November 5, 2012

BEEF `50 CENT VS FLOYD MAYWEATHER'.

50 Cent Na Floyd Mayweather
  Tazama na soma majibizano ya vijana hawa walio wahi kuwa marafiki sana kipindi cha nyuma kidogo.Urafiki wao ulibadilika baada ya 50 Cent kuanza kusimamia mapambano ya ngumi Marekani na Floyd kurudisha urafiki na Rickross.